Jumamosi, 26 Aprili 2014

MATUKIO KATIKA PICHA MIAKA 50 YA MUUNGANO NGAZI YA MKOA WA IRINGA

Mamia ya wananchi wa Kijiji cha Kisanga na maeneo ya jirani waliojitokeza katika maadhimisho ya Miaka 50 ya Muungano ngazi ya Mkoa wa Iringa

Baadhi ya mamia ya wananchi wa Kijiji cha Kisanga na maeneo ya jirani waliojitokeza katika maadhimisho ya Miaka 50 ya Muungano ngazi ya Mkoa wa Iringa

 Wakuu wa Idara na mashirika mbalimbali waliohudhuria maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano wa Tanzania ngazi ya Mkoa yaliyofanyika wilayani Mufindi
 Kwaya ya KKKT Kisanga ilitumbuiza 

 Kwaya ya Wanafunzi wa shule ya Msingi Kisanga wakiimba wimbo wa miaka 50 ya Muungano

 Wanafunzi wa shule ya msingi Kisanga akipiga mgoma

 Kwaya ya Nzivi ikitumbuiza

 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi, Paul Ntinika akipangua Mashairi kuhusu umuhimu wa miaka 50 ya Muungano

 Kwaya ya KKKT- Kisanga ilitumbuiza

 Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Iringa ambaye pia ni Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Iringa, Scolastica Mlawi akisoma Hotuba ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa

 Scolastica Mlawi akisisitiza jambo katika maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano

 Pongezi baada ya Hotuba nzuri

Mheshimiwa Diwani akitoa shukrani baada ya maadhimisho

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Habari zinazoendelea hivi sasa

SERIKALI KUWEZESHA VIJANA KUKOPA

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa Serikali itaendelea kuwawezesha vijana kwa kuwatengenezea mazingira mazuri ya mikopo ili waweze k...