Jumatatu, 23 Juni 2014

MKUTANO NA VYOMBO VYA HABARI- MAPOKEZI YA MWENGE

PICHA ZA MKUTANO WA MKUU WA MKOA NA VYOMBO VYA HABARI

Afisa Habari (M) Iringa, Dennis Gondwe akitoa maneno ya utangulizi kwa waandishi wa habari wa Mkoa wa Iringa kuhusu mapokezi ya Mwenge wa Uhuru Mkoani Iringa



Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dkt. Christine Ishengoma akisoma Taarifa ya maandalizi ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru Mkoani Iringa

Mwandishi wa Habari wa Redio Overcomers Agustino Kihombo akifuatilia mkutano huo

Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Iringa wakifuatilia mkutano

Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Iringa

Waandishi wa Mkoa wa Iringa


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Habari zinazoendelea hivi sasa

SERIKALI KUWEZESHA VIJANA KUKOPA

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa Serikali itaendelea kuwawezesha vijana kwa kuwatengenezea mazingira mazuri ya mikopo ili waweze k...