Jumanne, 30 Desemba 2014
RC IRINGA KUKABIDHI MABATI KWA HALMASHAURI KUKAMILISHA MAABARA
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Amina Masenza kubadhi Mabati kwa Halmashauri zote za Mkoa wa Iringa kwa lengo la kuziongezea nguvu katika kukamilisha ujenzi wa Maabara. Tukio hilo la wazi litafanyika katika viunga vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Saa 6:00 Mchana.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Habari zinazoendelea hivi sasa
SERIKALI KUWEZESHA VIJANA KUKOPA
Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa Serikali itaendelea kuwawezesha vijana kwa kuwatengenezea mazingira mazuri ya mikopo ili waweze k...
-
Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ASILIMIA kubwa ya wanawake wa Tanzania ni wahanga wa saratani ya mlango wa kizazi ikichangia vifo vingi k...
-
Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mkoa wa Iringa umezitambua shule 10 bora na wanafunzi 10 waliofanya vizuri zaidi katika mtihani wa kumaliza...
-
Na. Mwandishi Maalum Iringa Makatibu Tawala wa Wilaya za Mkoa wa Iringa wametakiwa kufanya vikao vya kila robo mwaka na watumishi wanaow...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni