Ijumaa, 1 Mei 2015

HERI YA MEI MOSI IRINGA




Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Iringa inawatakia Heri ya Mei Mosi Wafanyakazi wote wa Mkoa wa Iringa. Ofisi hiyo inawapongeza sana wafanyakazi Hodari wote. Wafanyakazi wote wanakumbushwa kutimiza wajibu wao katika utendaji wao wa kazi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

Habari zinazoendelea hivi sasa

SERIKALI KUWEZESHA VIJANA KUKOPA

Na. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Iringa Serikali itaendelea kuwawezesha vijana kwa kuwatengenezea mazingira mazuri ya mikopo ili waweze k...